![]() |
Podcasts | Community | Create a Podcast |
|
|
|||
TheWayCM Swahili Podcast....for the glory of God.... |
|||
|
Intro Doc - Masomo ya Msingi
May 06, 2012 04:20 AM PDT
Maono ya kanisa la nyumba kwa nyumba – (Home Church Vision) Mkakati Viongozi watafundishwa vipindi saba vya mafundisho kutoka kwenye ya “Mafundisho ya Misingi” (Foundations), kwa siku moja au mbili, na baada ya hapo kanisa la nyumba kwa nyumba hufundishwa vipindi hivyo saba kwa muda wa majuma saba ikiwa ni somo moja kwa kila juma (kiongozi ndiye anyeongoza). Katika juma la nane ubatizo wa wazi huandaliwa kwa ajili ya waliokoka wapya ha hii huwa ni fursa ya kuwapata watu wengine kwa ajili ya awamu nyingine ya “Mafudnisho ya Misingi” kwa ajili ya makanisa mapya ya “nyumba kwa nyumba”. Wakati huo huo, lile kanisa la kwanza la nyumba kwa nyuma huingia katika majuma saba ya kozi fupi ya kutoka Kozi ya kusoma Biblia kwa Njia ya Roho (The Way of the Spirit Bible Reading Course), kwa mfano “Onyesho la njia ya Wokovu” (The Drama of Salvation). Katika Juma la saba kunakuwa na ubatizo mwingine wa wazi (au tukio la wazi linalofanana nalo), ambapo awamu ya tatu ya Kanisa la Nyumba Kwa nyumba inaanzishwa. Lile kundi la kwanza la kanisa la nyumba kwa nyumba sasa huingia kwenye mafundisho mapya ya Mafundisho kwa Uzima (Training For Life –TFL) kwa ukamilifu, huku kundi la pili likiingia kwenye “Onyesho la njia ya Wokovu” (au somo linalofanana nalo) na lile la tatu huingia kwenye mafundisho saba kutoka kwnye ya “Mafundisho ya Misingi” (Foundations). Na hivyo kuendelea katika mfumo huo huo…. Kumbuka kwamba kwa kila kanisa la nyumba kwa nyumba kiongozi ni lazima awatafute watu wenye uwezo wa kuongoza ili kumsaidia na kuongoza Makanisa Mapya ya nyumba kwa nyumba yanayoanzishwa. Hatimaye lile kanisa la kwanza linakuwa Waangalizi wa Kitume kwa ajili ya makanisa wanayoyasimamia, na kutenda kazi pamoja na Waangalizi wengine wa Kitume, na baadhi ya hawa watakuwa kwenye Timu ya Kitaifa ya Waangalizi wa Kitume wanaokusaidia, kama Kiongozi Mpakwa Mafuta, unayesimamia kazi ya kitaifa. Kuna kazi nyingi kwa kila aliye kwenye timu hiyo, kwa jinsi Mungu anavyowaoongoza ni muhimu . . . . Itakuwa vizuri kusikia watu wanasemaje juu ya kukua kwa makanisa haya ya anyumba kwa nyumba. Kumbuka umuhimu wa kuwa na timu ‘iliyoitwa na kupakwa mafuta’ kutenda kazi na kiongozi wa huduma. Kazi itakuwa kubwa mno kwa mtu mmoja peke yake. Viongozi, tafuta watu ambao watatokana na wewe mwenyewe na kukua katika Kristo. Wewe una upako wa kitume lakini kumbuka kwamba wao hawana. Kila aliye kwenye timu atakuwa na kazi ya kufanya chini ya ulezi wako lakini hakuna mtu mmoja awezaye kufanya kazi unayoifanya, kwa hiyo tafuta timu ya watu ambao watakuwa na majukumu katika maeneo maalum ya upako wako …. Kwa mafano mchungaji, mwalimu, muinjilist, na nabii. Pia utahitaji wasimamizi wa shughuli za kiutawala waliotiwa mafuta na walio na karama za masaidiano (kuendesha, kupika, kufanya kazi mbalimbali; (hawa watakuwa mashemasi). Mpangilio wa huduma unatakiwa kuwa namna hii…. Mch Peter (Timu ya TheWayCM) >Kiongozi wa Kitume wa Kitaifa na timu yake (timu hii itajumuisha wazee kutoka majimbo mabimbali)> Wasimamizi wa makanisa ya nyumba kwa nyumba (wazee) na wasidizi wao (mashemasi) kutoka kila jimbo > washirika Masomo ya Msingi 1 - Kuwa Mwana wa Mungu
May 06, 2012 04:32 AM PDT
1. Kuwa Mwana wa Mungu 1) Unadhani ni kwa nini Mungu alichagua kumtuma Yesu ulimwenguni?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara. Masomo ya Msingi 2 - Ubatizo katika Roho Mtakatifu
May 06, 2012 04:35 AM PDT
2. Ubatizo katika Roho Mtakatifu 1)Yesu alifanya nini kwa ajili yetu pale msalabani?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara.. Masomo ya Msingi 3 - Kunena kwa lugha mpya
May 06, 2012 04:37 AM PDT
3. Kunena kwa lugha mpya 1) Petro anasema ‘kushuhudia ndio maisha yetu’. Matendo yana sauti zaidi ya maneno. Ni kwa njia gain wewe unashuhudia?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara.. Masomo ya Msingi 4 - Urafiki wa karibu na Mungu
May 06, 2012 04:39 AM PDT
4. Urafiki wa karibu na Mungu 1) Ikiwa ‘unasikia kutoka kwa Mungu’, Je anakuambia nini?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara. Masomo ya Msingi 5 - Kuingia ndani ya Yesu
May 06, 2012 04:40 AM PDT
5. Kuingia ndani ya Yesu 1) Ni nini kinachomfanya Mungu , kuwa Baba yetu ‘Mwema’? Na je tunawezaje kupokea vitu ‘vyema’ kutoka kwake (zile shauku za mioyo yetu) ?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara. Masomo ya Msingi 6 - Udanganyifu
May 06, 2012 04:42 AM PDT
6. Udanganyifu 1) Kuna umuhimu gani kwetu kunyenyekea kwa Mungu na kutofuata vitu vya ulimwengu huu?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara.. Masomo ya Msingi 7 - Kuenenda katika Nuru
May 06, 2012 04:44 AM PDT
7. Kuenenda katika Nuru 1) Ulimwengu unachukia ‘Nuru ya Ulimwengu’. Kwa nini?
Kibali kimetolewa kutengeneza nakala kivuli za masomo haya na kuyatumia kwa ajili ya kujifunza na si biashara.. |
Podcast SummaryHelping to make Christian Disciples of Jesus Christ everywhere.... About TheWayCM Swahili PodcastFollowersThewaycm swahili podcast's FriendsContact MeSubscribe to this Podcast![]() |
||